Sun, 1 Apr 2018
Chanzo: bongo5.com
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Taifa(Bavicha), Patric Sosopi amesema kuwa wanaijua mikakati inayopangwa na Msajili wa vyama kuifuta Chadema, ameeleza kuwa Chama hicho hakitakufa wala kufutika na hakuna mtu atakayekifuta.
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana Taifa(Bavicha), Patric Sosopi amesema kuwa wanaijua mikakati inayopangwa na Msajili wa vyama kuifuta Chadema, ameeleza kuwa Chama hicho hakitakufa wala kufutika na hakuna mtu atakayekifuta.
Chanzo: bongo5.com