Thu, 27 Aug 2020
Chanzo: zanzibar24.co.tz
Rais John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wamerejesha fomu zao za kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Rais John Pombe Magufuli na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wamerejesha fomu zao za kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. CCM inarajiwa kuzindua kampeni zake mkoani Dodoma siku ya Jumamosi katika uwanja wa Jamhuri.
Chanzo: zanzibar24.co.tz