Wed, 25 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Shaka Hamdu Shaka kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Morogoro.
Awali Shaka alikuwa ni Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa ndani ya Chama cha Mapinduzi CCM.
Alitenguliwa wadhifa huo ambapo nafasi hiyo ilijazwa kwa uteuzi wa Sophia Mjema ambaye ndiye anakaimu nafasi hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live