Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

BREAKING: Madiwani watatu wa CHADEMA wajivua uanachama, watoa sababu

Fri, 23 Feb 2018 Chanzo: millardayo.com

Habari kutoka mkoani Arusha leo February 15, 2018 ni kwamba madiwani watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika wilaya ya Ngorongoro wamejiuzulu nafasi zao na kujiunga na CCM.

Wamedai kuwa uamuzi wao huo wa kukihama chama cha CHADEMA ni wa kumuunga mkono Raisi John Magufuli katika utendaji wake wa kazi.

Madiwani hao ni Daniel Olkery wa kata ya Ngorongoro, Lazaro Saitoti kata ya Ngoile pamoja na Sokoine Moir ambaye ni diwani wa kata ya Alaitole.

Ukarabati uliogharimu Milioni 75 wamfanya Ndalichako kuchukua maamuzi Magumu



 

Chanzo: millardayo.com