Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

BREAKING: Askofu Gwajima na Jerry Slaa waitwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Bunge

Bunge?fit=700%2C467&ssl=1 Bungeni Dodoma

Sat, 21 Aug 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Spika wa Bunge, Job Ndugai (Mb) ameagiza Wabunge Josephat Mathias Gwajima na Jerry William Silaa kufika na kuhojiwa mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ili kujibu tuhuma mbalimbali ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge.

Taarifa ya Bunge imefafanua zaidi.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live