Sat, 21 Aug 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Spika wa Bunge, Job Ndugai (Mb) ameagiza Wabunge Josephat Mathias Gwajima na Jerry William Silaa kufika na kuhojiwa mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ili kujibu tuhuma mbalimbali ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge.
Taarifa ya Bunge imefafanua zaidi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live