Thu, 6 May 2021
Chanzo: millardayo.com
Siku chache baada ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuufungia wimbo wa ‘Mama’ wa msanii Emmanuel Elibariki maarufu Ney wa Mitego, Baraza la Vijana CHADEMA (BAVICHA) limelaani kitendo hicho kwa madai kuwa ni kuvunja Katiba kwa kuingilia uhuru wa msanii huyo katika kutoa maoni yake.
BILA KUPEPESA MACHO RAIS SAMIA ANENA “TUNAVAA BARAKOA KAMA MBUZI, CORONA NI JANGA”
Chanzo: millardayo.com