Aina mbili maarufu za kirusi cha COVID zimeripotiwa kuungana pamoja katika kile kinachoelezwa kuwa ni muunganiko wa kirusi cha Omicron na Delat "Deltacron."
Leondios Kostrikis -- profesa wa sayansi ya kibaolojia katika Chuo Kikuu cha Cyprus na mkuu wa Maabara ya Bioteknolojia na Virolojia ya Molekuli huko -- ameviambia vyombo vya habari vya ndani wiki hii kwamba timu yake imegundua kile wanachoamini kuwa ni toleo jipya.
Jinsi anavyoielezea ... "saini za kijeni za omicron ndani ya jenomu za delta," ambayo inamaanisha kuwa kuna athari za aina zote mbili ndani ya kirusi kimoja, hivyo hatari zaidi inakuja.
Cyprus reportedly discovers a Covid variant that combines omicron and delta https://t.co/CXJZPwKnQM
— CNBC (@CNBC) January 8, 2022