Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Wanasayansi wagundua kirusi kipya hatari cha "Deltacron"

Ttruytkkkkkkkyi Wanasayansi wagundua aina mpya ya kirusi hatari zaidi cha

Sun, 9 Jan 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Aina mbili maarufu za kirusi cha COVID zimeripotiwa kuungana pamoja katika kile kinachoelezwa kuwa ni muunganiko wa kirusi cha Omicron na Delat "Deltacron."

Leondios Kostrikis -- profesa wa sayansi ya kibaolojia katika Chuo Kikuu cha Cyprus na mkuu wa Maabara ya Bioteknolojia na Virolojia ya Molekuli huko -- ameviambia vyombo vya habari vya ndani wiki hii kwamba timu yake imegundua kile wanachoamini kuwa ni toleo jipya.

Jinsi anavyoielezea ... "saini za kijeni za omicron ndani ya jenomu za delta," ambayo inamaanisha kuwa kuna athari za aina zote mbili ndani ya kirusi kimoja, hivyo hatari zaidi inakuja.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live