Wed, 13 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mganga Mkuu Mkoa wa Mtwara, Hamad Nyembea amewataka wananchi mkoani humo kutokuwa na hofu juu ya uwepo wa ugonjwa wa kutokwa na damu puani, ugonjwa ambao umeripotiwa katika mkoa wa Lindi, amesema ugonjwa huo ni wa kuridhi, na unachangiwa pia na hali ya hewa
Submitted by exaud on Jumanne , 12th Jul , 2022Aidha kuhusu kuwapo kwa ugonjwa huo Mkoani Mtwara Nyembea anasema, mpaka sasa hakuna taarifa ya uwapo wa ugonjwa huo Mkoani humo,
Nyembea ametoa wito kwa wakazi wa Mkoa wa Mtwara, kufika haraka katika kituo cha afya pindi watakapoona dalili yoyote ya kutokwa na damu puani
Chanzo: www.tanzaniaweb.live