Wakati Tanzania tukijilinda na Ebola, ugonjwa mwingine hatari zaidi duniani unaoenezwa na popo waibuka
height="400" class="wp-caption-text">Wauguzi katika chuo cha afya cha Kozhikode wakiendelea na matibabu
TIMES NOW reports from Kerala's Calicut district after at least nine people died and 10 patients were kept under observation due to Nipah Virus outbreak pic.twitter.com/zkbSMZs57e
— TIMES NOW (@TimesNow) May 21, 2018
Ugonjwa huo unaoenezwa na POPO ni miungoni mwa orodha ya magonjwa 10 hatari zaidi ya milipuko ambayo yanaangaziwa zaidi na Shirika la Afya Dunia (WHO).
Tayari Waziri wa Afya nchini India, Jagat Prakash Nadda ameagiza mamlaka husika mjini Kerala kufunga maeneo yote yenye mikusanyiko ya watu ikiwemo Waranti ili kuzuia maambukizi zaidi ya virus hivyo vya Nipah.
Reviewed the situation of deaths related to nipah virus in Kerala with Secreatry Health. I have directed Director NCDC to visit the district and initiate required steps as warranted by the protocol for the disease in consultation with state government.
— Jagat Prakash Nadda (@JPNadda) May 20, 2018
Dalili za mtu aliyeambukizwa virusi vya Nipah.
->Homa kali ya mwili
->Maumivu ya kichwa
->Uchovu na usingizi mzito
-> Kupumua kwa tabu na kuchanganyikiwa.
Mpaka sasa hakuna chanjo ya ugonjwa huo.