Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Waafrika na Asia hatarini kupata upofu kwa Pressure ya Macho

2909 Macho 660x400

Fri, 9 Feb 2018 Chanzo: millardayo.com

Leo February 9, 2018 nakusogezea Mtaalamu wa Macho, kutoka Hospital ya Eye International, Dr. Shadrack amasema kuwa Waafrika na Asia wapo katika hatari kubwa ya kuathiriwa na ugonjwa wa Pressure ya Macho ambapo ni miongoni mwa magonjwa hatari yanayosababisha Upofu na hayana tiba na hii ni kutokana na maumbile ya macho yao.

Bonyeza PLAY hapa chini kumsikiliza na kumtazama Dr. Shadrack akitoa ufafanuzi.

ALICHOZUNGUMZA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KESI YAKE NA HAMISA, BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUTAZAMA

Chanzo: millardayo.com