Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

WHO yatangaza Ugonjwa wa Homa ya Nyani kuwa tishio

Ugonjwa Wa Nyani Monkey Pox yahatarisha maisha kwa baadhi ya mataifa barani Ulaya

Sat, 23 Jul 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Shirika la Afya Duniani WHO, limeutangaza ugonjwa wa Homa ya Nyani "Monkeypox" kuwa dharura ya afya ya dunia.

Kwa uamuzi huo sasa inamaanisha kuwa WHO inachukulia mlipuko huo kama tishio kubwa kwa afya ya dunia ambapo suluhisho la haraka linatakiwa kupatikana.

Mpaka sasa nchi za Ulaya ndio kitovu cha mlipuko huo, na kwa mujibu wa tafiti wanaume wanaofanya mapenzi ya jinsia moja wapo hatarini zaidi.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live