Sat, 15 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wataalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) wameitaja Dawa ya Baricitinib kutumika kutibu Wagonjwa mahututi wa #COVID19 na dawa ya Sotrovimab kutumika kwa walio na Corona isiyo kali
Dawa hizo zimependekezwa baada ya kupata matokeo ya majaribio saba yaliyohusisha watu 4,000 waliokuwa na maambukizi ya Virusi hivyo
Dunia imeendelea kuhangaika na janga la Corona huku utoaji chanjo ukiendelea ili kudhibiti kasi ya maambukizi
Chanzo: www.tanzaniaweb.live