Fri, 21 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati ikielezwa uwepo wa uhaba mkubwa wa dawa kwenye vituo vya kutoa huduma za afya, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu leo amefanya ziara kwenye bohari kuu ya Dawa nchini MSD
Katika ziara hiyo Waziri Ummy amebaini kuwa wakati mahitaji ya huduma za dawa yakiwa ni shilingi Bilioni 519 kwenye vituo vya kutoa huduma za afya, Bohari hiyo ina uwezo kutoa huduma ya Dawa zenye thamani ya shilingi Bilioni 160 tu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live