Mon, 6 Apr 2020
Chanzo: mwananchi.co.tz
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema mtu yeyote akithibitika kuwa na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (Covid-19) atapelekwa eneo lililoandaliwa bila kujali cheo chake.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema mtu yeyote akithibitika kuwa na ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (Covid-19) atapelekwa eneo lililoandaliwa bila kujali cheo chake.
Chanzo: mwananchi.co.tz