Mon, 7 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mataifa ambayo tayari yanakabiliwa na ongezeko la umasikini, ukosefu wa usawa na migogoro yanashuhudia janga la Corona likitishia zaidi miaka ya maendeleo ya kukomesha ukeketaji
Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Watoto (UNICEF) linasema hata kabla ya Corona , Wasichana Milioni 68 walikadiriwa kuwa katika hatari ya ukeketaji kati ya 2015 na 2030
Kutokana na mlipuko huo kuvuruga programu kadhaa zinazosaidia kulinda wasichana dhidi ya vitendo hivyo, visa vya ziada Milioni 2 vya ukeketaji vinaweza kutokea katika muda wa miaka kumi ijayo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live