Thu, 18 Jan 2018
Chanzo: millardayo.com
Kutoka Kituo cha Afya Igoma Mwanza, Mama mwenye umri wa miaka 29, ambaye ana ujauzito wa miezi 6, amekwenda kituo cha Afya kuomba ajifungue Kopo ambalo anadai aliota usiku amewekewa.
AyoTv tumefika katika kituo cha Afya na tumezungumza na wahusika ili kuweza kufahamu ukwel, Zaituni Lihonge ndiye alikuwa Daktari wa zamu katika kituo hicho cha afya ambaye alishughulika na zoezi zima la kumhudumia mama huyo, Bonyeza PLAY kumtazama akielezea hali halisi.
CHADEMA KUHUSU KUMSIMAMISHA MGOMBEA JIMBO LA KINONDONI
Chanzo: millardayo.com