Wed, 12 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema mkoa wa Simiyu umeongezewa fedha za dawa kutoka shilingi Bilioni 3.9 hadi kufikia shilingi Bilioni 5.2 kwa mwaka wa fedha wa 2023 /2024.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema mkoa wa Simiyu umeongezewa fedha za dawa kutoka shilingi Bilioni 3.9 hadi kufikia shilingi Bilioni 5.2 kwa mwaka wa fedha wa 2023 /2024. Waziri Ummy ameyasema hayo wakati akizungumza na Wananchi katika kata za Nkoma na Mwalushu akiwa katika ziara yake mkoani Simiyu yenye lengo la kukagua ujenzi wa miundombinu na vifaa tiba katika maeneo mbalimbali ya kutolea huduma za afya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live