Tue, 23 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Waziri wa Afya Dr. Gwajima amesema kuwa hadi kufikia November 19, 2021 Watanzania 1,359,624 wameshapata chanjo.
Waziri wa Afya Dr. Gwajima amesema kuwa hadi kufikia November 19, 2021 Watanzania 1,359,624 wameshapata chanjo. Waziri Gwajima ameyasema hayo leo November 23, 2021 wakati akipokea dozi 499,590 za chanjo ya Pfizer ambazo zitatumika kuwakinga Watanzania 249,795 kwa dozi mbili mbili kwa kila mtu
Chanzo: www.tanzaniaweb.live