Mon, 17 May 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Rais Samia Apokea Taarifa ya Tathmini ya Ugonjwa wa Covid-19 May 17, 2021 by Global Publishers
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Kamati Maalum aliyoiunda kwa ajili ya kufanya tathmini ya Ugonjwa wa Corona COVID -19 nchini kutoka kwa mwenyekiti wa kamati hiyo Prof. Said Aboud Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 17/5/2021.
Chanzo: globalpublishers.co.tz