Sun, 13 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amekabidhiwa tuzo ya heshima na klabu ya Coastal Union ya Tanga. Waziri Ummy amekabidhiwa tuzo hiyo kwa kutambua mchango wake uliyosaidia timu hiyo kupanda Ligi kuu Tanzania bara (VPL).
Loading...
Chanzo: bongo5.com