Fri, 1 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu leo Julai 1, 2022, amezindua mtambo wa kuzalisha hewa tiba ya Oksijeni wenye gharama ya bilioni 1.5.
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu leo Julai 1, 2022, amezindua mtambo wa kuzalisha hewa tiba ya Oksijeni wenye gharama ya bilioni 1.5. Uzinduzi huo umefanyika kwenye hospitali ya Benjamin Mkapa, mkoani Dodoma, ikiwa ni utekelezali wa miradi ya afya nchini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live