Thu, 21 Jul 2022
Chanzo: www.habarileo.co.tz
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hadi kufikia Julai 18, 2022 wananchi milioni 11.5 walikuwa wamepata chanjo kamili ya ugonjwa wa virusi vya corona (Covid 19).
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hadi kufikia Julai 18, 2022 wananchi milioni 11.5 walikuwa wamepata chanjo kamili ya ugonjwa wa virusi vya corona (Covid 19). Akizungumza na viongozi wa dini mkoani Tanga jana Julai 20, 2022 amesema hiyo ni sawa na asilimia 37 ya wanaotakiwa kuchanjwa.
Chanzo: www.habarileo.co.tz