Sat, 10 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa Kilimanjaro Christian Medical Center (KCMC) ameruhusiwa kutoka hospitali hapo baada ya madaktari kujiridhisha kuwa afya yake imeimarika.
Mbowe alilazwa hospitalini hapo kuanzia juzi usiku ambapo alikuwa akisumbuliwa na maumivu makali ya kichwa.
Ikumbukwe kuwa Mh. Mbowe alifikishwa KCMC Machi 4 akiumwa kichwa na jana Machi tano ameruhusiwa kutoka hospitalini.
Chanzo: bongo5.com