Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mh. Mbowe aruhusiwa kutoka hospitali KCMC

4295 Mbowe TZW

Sat, 10 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa Kilimanjaro Christian Medical Center (KCMC) ameruhusiwa kutoka hospitali hapo baada ya madaktari kujiridhisha kuwa afya yake imeimarika.



Mbowe alilazwa hospitalini hapo kuanzia juzi usiku ambapo alikuwa akisumbuliwa na maumivu makali ya kichwa.

Ikumbukwe kuwa Mh. Mbowe alifikishwa KCMC Machi 4 akiumwa kichwa na jana Machi tano ameruhusiwa kutoka hospitalini.

Chanzo: bongo5.com