Thu, 5 Aug 2021
Chanzo: Jamii Forums
Chama cha Wataalamu wa Afya ya Kinywa na Meno #Tanzania (TDA) kimewataka Madaktari wa Meno kuwa makini wanapotoa huduma kwani wapo hatarini zaidi kuambukizwa
Hii ni kutokana na Matibabu wakati mwingine huwa chanzo cha kutengeneza matone ya Mate yanayoruka kutoka kinywani na kuweza kuwa chanzo cha kusambaa kwa Maambukizi
Rais wa TDA, Dkt. Deogratius Kilasara amesema tangu Wimbi la Tatu kuingia Chama hicho kimeshapoteza Wanachama watatu kutokana na #COVID19. Asema eneo wanalofanyia kazi ndio kiwanda cha kusambaza ugonjwa hivyo ni muhimu kwao kujilinda na kuwalinda wengine
Chanzo: Jamii Forums