Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Maamuzi ya Serikali kwa Wauguzi wanaowanyanyasa wajawazito (+Video)

2638 RV1355 Articolo 640x400

Mon, 5 Feb 2018 Chanzo: millardayo.com

Ni kutokea Bungeni Dodoma leo February 5, 2018 ambapo Serikali kupitia Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Faustine Ndugulilele amesema tayari Serikali imeanza kuwachukulia hatua za kinidhamu baadhi ya wauguzi ambao wamekuwa wakiwanyanyasa wajawazito.



Shinikizo la Wabunge kwa Serikali kuhusu ndoa za utotoni

Chanzo: millardayo.com