Mon, 5 Feb 2018
Chanzo: millardayo.com
Ni kutokea Bungeni Dodoma leo February 5, 2018 ambapo Serikali kupitia Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Faustine Ndugulilele amesema tayari Serikali imeanza kuwachukulia hatua za kinidhamu baadhi ya wauguzi ambao wamekuwa wakiwanyanyasa wajawazito.
Shinikizo la Wabunge kwa Serikali kuhusu ndoa za utotoni
Chanzo: millardayo.com