Fri, 13 May 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Maafisa wa Korea Kaskazini wamethibitisha vifo vya watu kadhaa katika mlipuko wa homa ya ajabu, ikiwa ni pamoja na mtu mmoja ambaye alipatikana na UVIKO-19 - kisa cha kwanza kuthibitishwa tangu janga hilo liibuke kwama 2019.
Mamia kwa maelfu ya raia wa Korea Kaskazini wameugua kutokana na maradhi yasiyojulikana katika wiki za hivi karibuni, shirika la serikali KCNA liliripoti siku ya Alhamisi, likiwanukuu maafisa.
Kati ya watu sita walioofariki, mmoja alibainika kuwa na maambukizi ya Omicron.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live