Sun, 28 Jan 2018
Chanzo: millardayo.com
Tattoo ni Utamaduni ambao asili yake katika mabara ya Ulaya, America na Asia lakini kwa sasa hata hapa Tanzania umekuaja kwa kasi hasa kwa vijana Leo January 27, 2018 nakusogezea Daktari Bingwa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili Dr. Heri Tungaraza ametufafanulia madhara yanayoweza kutokea baada ya kuchora Tattoo.
HOSPITALI YA BUGANDO MWANZA WAMEPATA KIFAA CHA CT-SCAN, KWA MARA YA KWANZA
Chanzo: millardayo.com