Thu, 6 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ufaransa imeripoti aina mpya Kirusi cha Corona ambacho ni B.1.640.2 au IHU ambacho kina mabadiliko 46
Kama Shirika la Afya Duniani (WHO) litathibitisha uwepo wa kirusi hicho kitaweza kuitwa 'Pi' kwani ndio herufi inayofuata baada ya Omicron
Hadi sasa ni watu 12 Nchini Ufaransa ndio wamethibishwa kuwa na maambukizi ya kirusi hicho na hakuna nchi nyingine iliyoripoti aina hiyo ya kirusi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live