Mairan papuu ni mtoto mwenye umri wa miezi kumi lakin amekuwa akipumua kwa kutumia oxygen kutokana nakuugua ugonjwa wa mapafu nakupelekea kula kwa kutumia mpira kwa kutumia tumboSaada William Mhone ambaye ni bibi wa mtoto amesema tangu alipozaliwa alikuwa na tatizo la kupumua na alishindwa kunyonya“alifanyiwa mara ya tatu opereshen ya tumbo nakuwekekewa tube kwa ajili yakula na hawezi kula kwa mdomo hadi mapafu yatakapokaa sawa,watu wameweza kuchangia zaidi ya million 50 na bado anatibiwa na mpaka sasa tunadaiwa zaidi million 25,namba yakutuchangia M Pesa 0763272443”-Saada
Mairan papuu ni mtoto mwenye umri wa miezi kumi lakin amekuwa akipumua kwa kutumia oxygen kutokana nakuugua ugonjwa wa mapafu nakupelekea kula kwa kutumia mpira kwa kutumia tumboSaada William Mhone ambaye ni bibi wa mtoto amesema tangu alipozaliwa alikuwa na tatizo la kupumua na alishindwa kunyonya“alifanyiwa mara ya tatu opereshen ya tumbo nakuwekekewa tube kwa ajili yakula na hawezi kula kwa mdomo hadi mapafu yatakapokaa sawa,watu wameweza kuchangia zaidi ya million 50 na bado anatibiwa na mpaka sasa tunadaiwa zaidi million 25,namba yakutuchangia M Pesa 0763272443”-Saada MWANAMKE DEREVA ANAYEMUENDESHA MKURUGENZI “WANAUME WANANISHANGAA,NAZUNGUKA MIKOA YOTE”