Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando, mkoani Mwanza itaanza kutoa huduma za upandikizaji figo mwishoni mwa mwaka huu. - Daktari Bingwa Mbobezi wa Figo Bugando, Said Kanenda amesema uamuzi huo umekuja kufuatia ongezeko la wagonjwa wa matatizo ya figo, ambapo hospitali hiyo inahudumia wagonjwa wapya kati ya 15 hadi 20 kwa siku, kutoka wanne (kwa siku) wakati Bugando inaanzisha matibabu ya figo, miaka ya 1970. - Ametoa kauli hiyo leo katika maadhimisho ya siku ya figo duniani kwamba, huduma za upandikizaji figo ndiyo tiba ya uhakika zaidi.
Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando, mkoani Mwanza itaanza kutoa huduma za upandikizaji figo mwishoni mwa mwaka huu. - Daktari Bingwa Mbobezi wa Figo Bugando, Said Kanenda amesema uamuzi huo umekuja kufuatia ongezeko la wagonjwa wa matatizo ya figo, ambapo hospitali hiyo inahudumia wagonjwa wapya kati ya 15 hadi 20 kwa siku, kutoka wanne (kwa siku) wakati Bugando inaanzisha matibabu ya figo, miaka ya 1970. - Ametoa kauli hiyo leo katika maadhimisho ya siku ya figo duniani kwamba, huduma za upandikizaji figo ndiyo tiba ya uhakika zaidi.