Wanasayansi wamefaulu kurudisha macho ya mutu aliyefariki na kuthibitisha kwamba “chembe za neuroni zenye uwezo wa kuona katika retina bado zinaweza kuitikia nuru na kuwasiliana hadi saa tano baada ya kifo, zikitoa ishara ‘zinazofanana na zile zilizorekodiwa kutoka kwa viumbe hai,’” jarida la Telegraph imeripoti.
Wanasayansi wamefaulu kurudisha macho ya mutu aliyefariki na kuthibitisha kwamba “chembe za neuroni zenye uwezo wa kuona katika retina bado zinaweza kuitikia nuru na kuwasiliana hadi saa tano baada ya kifo, zikitoa ishara ‘zinazofanana na zile zilizorekodiwa kutoka kwa viumbe hai,’” jarida la Telegraph imeripoti.