Thu, 18 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Kutoa ni moyo na wala sio utajiri. Rapper Sean John Combs maarufu kama P Diddy amechangia kiasi cha dola 100, 000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 224 za kitanzania.
Msanii huyo ametoa fedha hizo kwenye kampeni ya kusaidia huduma za afya za uzazi nchini Uganda.
Kampeni hiyoambayo inafahamika kama Mama Hope ilianzishwa mwaka 2016 na rapper French Montana.
Chanzo: bongo5.com