Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Diddy achangia milioni 224 Uganda

1444 466C6C5200000578 5090329 Image M 67 1510861707847

Thu, 18 Jan 2018 Chanzo: bongo5.com

Kutoa ni moyo na wala sio utajiri. Rapper Sean John Combs maarufu kama P Diddy amechangia kiasi cha dola 100, 000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 224 za kitanzania.



Msanii huyo ametoa fedha hizo kwenye kampeni ya kusaidia huduma za afya za uzazi nchini Uganda.

Kampeni hiyoambayo inafahamika kama Mama Hope ilianzishwa mwaka 2016 na rapper French Montana.

Chanzo: bongo5.com