Tue, 4 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Watu wenye umri wa kuanzia miaka 60 wameanza kupewa 'booster' ya pili ambayo inafanya iwe chanjo ya nne ya #COVID19.
Misululu ya watu imeonekana katika Vituo vya Afya mjini Tel Aviv ili kupata chanjo baada ya maambukizi ya Omicron kuenea kwa kasi nchini #Israel.
Watu wengine wanaopewa kipaumbele cha kupata chanjo ya nne ni wote waliohatarini kupata maambukizi ikiwemo wahudumu wa Afya.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live