Habari

Burudani

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Asali, mdalasini hutibu magonjwa lukuki

63840 Asali+pic

Sat, 22 Jun 2019 Chanzo: mwananchi.co.tz

Tafiti mbalimbali za wataalamu wa lishe, zinaonyesha kwamba uwezo wa asali kutibu unaweza kuongezeka maradufu kama itachanganywa na mdalasini.

Asali inafahamika kama chakula muhimu kinachosaidia kupambana na magonjwa yatokanayo na uzee.

Tafiti mpya za wataalamu wa dawa lishe zimeonyesha kwamba asali inafahamika vyema duniani kama ‘silaha’ ya kiajabu katika kupigana na magonjwa mbalimbali.

Uchunguzi uliofanywa na jarida la World News kuhusu tiba, umeonyesha kuwa kuna umuhimu wa asali na mdalasini kuchanganywa pamoja.

Maumivu ya viungo vya mwili

Katika utafiti uliofanyiwa Chuo Kikuu huko Copenhagen, madaktari waliwapa wagonjwa 200 wa maumivu ya mwili, mchanganyiko wa kijiko kimoja cha asali na mdalasini kila asubuhi kabla ya kifungua kinywa.

Pia Soma

  • Kwa nini unashauriwa kunywa supu ya mchele?
    Kwa nini unashauriwa kunywa supu ya mchele?
  • Haya ndiyo yanayochangia wazazi kupuuza chanjo ya surua kwa watoto
    Haya ndiyo yanayochangia wazazi kupuuza chanjo ya surua kwa watoto
  • > var googletag = googletag || {}; googletag.cmd = googletag.cmd || [];
Chanzo: mwananchi.co.tz