Menu ›
Burudani
Fri, 2 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mrembo kutoka Wasafi Classic Baby (WCB), Zuhura Othuman 'Zuchu' amekamata nafasi ya tatu kwa kuwa na subscriber wengi zaidi YouTube.
Kwa mujibu wa mtandao wa Africa Facts Zone, Zzuchu anashika nafasi hiyo akiwa na suscribers Mil. 2.68 ambapo juu yake yupo Sherine mwenye subscribers Mil. 4.69 akishika nafasi ya kwanza huku nafasi ya pili ikishikwa na Zina Daoudia mwenye subscribers Mil. 3.46.
Haya ni mafanikio makubwa kwa Zuchu kwa kuwa hana umri mkubwa kwenye gemu kulinganisha na wasanii wengine wa kike waliomtangulia Bongo akiwemo Nandy na wengineo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live