Menu ›
Burudani
Tue, 28 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki @officialzuchu anayetamba kwa sasa na wimbo wake "Siji" amethibitisha ujio wa Album yake ambayo amesema itasumbua spika zako kwa jinsi ilivyo kalii.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa producer @iam_trone , ambaye mara nyingi huandaa kazi zake alishea taarifa hii ambapo pia Zuchu ali-repost video hiyo kuthibitisha ni kweli kuwa wanapika kitu kikali Album na itatoka hivi karibuni.
Ikumbukwe kuwa hii itakuwa Album ya kwanza kutoka kwake kwani anamiliki tu EP " Iam Zuchu" iliyotambulishwa Mwaka 2020.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live