Menu ›
Burudani
Mon, 19 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa Bongo Fleva, Zuhura Mohamed ‘Zuchu’ anasema kwamba kwa uandishi wake anastahili kushindanishwa na wasanii wa kiume na sio wa kike kwani atawaonea tu.
Zuchu ametoa ujumbe huo kupitia ukurasa wake wa Twitter ambapo ameandika hivi kwa kuongeza herufi kubwa kuonesha msisitizo:
"Niwashukuru wazazi wangu ni kwa ajili yenu na uwezo wa M/MUNGU TU. KWA UANDISHI WANGU YAFAA KUWEKWA KWENYE LIGI ZA WANAUME WADADA WENZANGU NTAWAONEA TU REPSCTFULLY. MY PEN GAME HARD I COULD WRITE FOR A GUY AND NOT NOTICE RELEASING TWO SONGS THIS MONTHS.”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live