Menu ›
Burudani
Sun, 22 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki wa bongo Fleva Zuchu amedai kuwa amepoteza ‘begi’ ambalo aliweka vitu vyake vyote kwa ajili ya show ya jana usiku nchini #Rwanda.
Kupitia #InstaStory yake zuchu aliandika:
“Niko Rwanda nimepoteza bag lenye kila kitu cha show yangu ya leo ya Trace Award kuanzia mimi mpaka dancers najaribu kutafuta namna ya kuziba pengo ila mniombee, trying to stay positive”
#Zuchu alitarajiwa kutumbuiza usiku wa jana katika #TraceAward2023 nchini #Rwanda ambapo Tuzo hizo zimewakutanisha mastaa kutoka mataifa mbali mbali kama vile, #Rema, #Davido, #Diamond nk. .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live