Menu ›
Burudani
Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Muziki #Zuchu ndio Msanii wa kwanza wa Kike mwenye Subscribers wengi zaidi youtube katika nchi 54 za Africa zilizopo chini ya Jangwa la Sahara.
Staa wa Muziki #Zuchu ndio Msanii wa kwanza wa Kike mwenye Subscribers wengi zaidi youtube katika nchi 54 za Africa zilizopo chini ya Jangwa la Sahara. #Zuchu ana Subscribers Milioni 3 akifuatiwa na Staa kutoka Nchini Nigeria #YemiAlade mwenye Sub Milioni 2.2.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live