Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Zuchu alia kuutemwa na mpenzi wake

DIAMOND ZUCHU TENA.png Zuchu alia kuutemwa na mpenzi wake

Sat, 3 Sep 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Katika chapisho hilo, malkia huyo wa Bongo Fleva ambaye amekuwa akiaminika kumchumbia bosi wake Diamond Platnumz, ameashiria kuwa yuko sokoni tena.

Zuchu aliandika kuwa yuko singe na kuambatanisha wimbo wenye maudhui ya Mwenyezi Mungu nitazame.

“Single tena,” aliandika binti hiyo wa malkia wa Taarab, Khadija Kopa.

“Huyo ni mume wa Zuuh (Zuchu),” Diamond alipachika ujumbe kwenye video ya Wasafi ambako alipeana tumbuizo la kukata na shoka.

Diamond na Zuchu watua Ufaransa

Wawili hao walionekana kuwa na furaha walipokuwa wakipita katika mitaa ya Paris huku wakiwa wameshikana mikono na mara kwa mara wakisimama kupiga picha na mashabiki.

Diamond alionekana kuzama katika penzi na mshikaji wake huku mpiga picha akinyaka nyakati alizokuwa akimtazama Zuchu kwa kummezea mate.

Simba alionekana mchangamfu mno, na uvumi kuhusu wawii hao kuchumbiana zikishika kazi.

Hivi majuzi alifichua kuwa alikuwa kwenye ziara ya ulimwengu akiwatumbuiza mashabiki wake kwa vibao motomoto huku akipakia video akiwa kazini.

Bosi huyo wa Wasafi Classic Baby alipita kwenye maduka kadhaa ili kumnunua bnidhaa msanii huyo wa nyimbo za Mtasubiri.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live