Baada ya Msanii Ajella kuweka wazi kuwa anatamani kufanya wimbo wa pamoja na msanii kutoka WCB, Zuchu amelikubali hilo huku akimwambia kuwa amtumie wimbo wafanye kazi.
Baada ya Msanii Ajella kuweka wazi kuwa anatamani kufanya wimbo wa pamoja na msanii kutoka WCB, Zuchu amelikubali hilo huku akimwambia kuwa amtumie wimbo wafanye kazi. Akiwa kwenye mahojiano #WasafiFm kwenye kipindi cha #FreshWeekend, Anjella alipewa nafasi ya kuchagua wasanii kati ya #Nandy, #MauaSama na #Zuchu ambae anatamani kufanya nae wimbo bila kupepesa macho akamchagua #ZUCHU huku akisema kuwa hivi karibuni walikutana kwenye moja ya studio lakini hakufanikisha kuzungumza nae kuhusu kufanya kazi ya pamoja.