Menu ›
Burudani
Sat, 26 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Zuhura Othman 'Zuchu' amejibishana na mashabiki zake mtandaoni baada ya kushauriwa abadili stylist.
Zuchu amewaonya mashabiki wake na kuweka wazi kuwa hawezi kusikiliza ushauri wao na kuwaambia wamkome.
Mashabiki wengi wamemwambia Zuchu abadili uvaaji wake maana ameshakuwa msanii mkubwa hivyo aendane na jina lake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live