Menu ›
Burudani
Tue, 29 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Chawa Pro Max, Baba Levo amesema, kwa sasa mrembo Zuhura Othman 'Zuchu' anatakiwa kujilengesha fasta amzalie mpenzi wake, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz'.
Baba Levo ameyasema hayo mara baada ya kuulizwa kwamba kwa sasa Zuchu anatakiwa kufanya nini wakati ambao tayari, Diamond ametamka hadharani kwamba mrembo huyo ndiye mkewe.
"Aache ujinga Zuchu, ajilengeshe azae. Kuhusu ndoa ataolewa lakini sasa awe tayari kuolewa wenzake maana Diamond hawezi kuwa na mke mmoja," alisema Baba Levo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live