Menu ›
Burudani
Tue, 15 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kutoka kwenye charts za mtandao wa @boomplaymusic_tz ambayo hutaja orodha ya nyimbo 100 (top100) zilizofanya vizuri kila week , ambapo wimbo wa MWAMBIENI' kutoka kwa Zuchu umefanikiwa kukamata nafasi ya kwanza katika chart hiyo ya nyimbo 100.
Katika Chart hiyo yenye nyimbo 100 zilizofanya vizuri nchini, wimbo wa Mi AMOR wa @marioo_tz umekamata nafasi ya pili ,huku UTU ya @officialalikiba ukishika nafasi ya 3.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live