Menu ›
Burudani
Fri, 13 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kampuni ya kusambaza muziki Ziiki imewakutanisha studio wanamuziki kutoka Tanzania #Rayvanny na #Nandy wakiwa nchini Afrika Kusini.
Kampuni ya kusambaza muziki Ziiki imewakutanisha studio wanamuziki kutoka Tanzania #Rayvanny na #Nandy wakiwa nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa picha mbalimbali Rayvanny na Nandy wameingia studio na mtayarishaji wa muziki kutoka Nigeria #BlaiseBeat ambaye ni moja ya watayarishaji wakubwa wa muziki Afrika aliyehusika kuandaa Album ya #ChrisBrown "Breezy" na "Timeless" ya Davido.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live