Menu ›
Burudani
Wed, 14 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Mwaka 2018 umeendelea kuwa ni washetani kwa couple za wapendanao wenye majina makubwa. Zayn Malik na Gigi Hadid waongeza orodha ya mastaa waliomwagana kwa mwaka huu.
Zayn Malik na Gigi Hadid
Wawili hao wamethibitisha kuachana kupitia mtandao wa Twitter. Zayn alikuwa wakwanza kuandika ujumbe huo hapo chini kwenye mtandao huo.
pic.twitter.com/4st0iU9zHg
— zayn (@zaynmalik) March 13, 2018
Hata hivyo Hadid alijibu mapigo kupitia mtandao huo kwa kuandika:
pic.twitter.com/dEDHlyH8P3
— Gigi Hadid (@GiGiHadid) March 13, 2018
Wawili hao wameachana ikiwa ni takribani miaka miwili imepita wamedumu kwenye mahusiano ya kimapenzi ambayo walianzisha July 2016.
Chanzo: bongo5.com