Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Zari adai hana hata namba ya Diamond kwa sasa

10143 22858095 130920217567379 3173124492574588928 N TZW

Thu, 28 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Ni takribani miezi mitano sasa tangu Zari The Boss Lady aachane na Diamond Platnumz, je, mrembo huyo anam-miss mazazi mwenzie?.



Jibu ni hapana, Zari ameeleza kuwa si kum-miss pekee, bali hata namba ya Diamond hana kwa sasa. Katika ukurasa wa Instagram wa mwanae, Tiffah Zari ndipo ameeleza hilo alipomjibu shabiki.

Shabiki huyo alieleza; Believe that Zari is missing his ex-hubby. Hii ni baada ya caption iliyokuwepo kwenye picha ya Tiffa iliyosema; How i wait for my papa to call.

Ndipo Zari The Boss Lady akaamua kujibu hilo.

“But I don’t have his number incase I missed him, I don’t have to express it through my daughter’s account. Don’t project your behavior on me” alieleza Zari.

Utakumbuka February 24, 2018 ndipo Zari alitangaza kuachana na Diamond Platnumz. May 31, 2018 ambapo Diamond alitoa wimbo wake ‘Iyena’, Babu Tale alifunga safari hadi Afrika Kusini kuhakikisha wawili hao wanarudiana. Hata hivyo June 11, 2018 Zari alieleza kuwa wamekubaliana watashirikiana kama wazazi katika kulea watoto wao na si vinginevyo.

Loading...
Chanzo: bongo5.com