Menu ›
Burudani
Fri, 9 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtangazaji Zamaradi Mketema amefurahishwa na umoja wa mashabiki wa Nigeria pale wanapoona wasanii wao wamepoteza Tuzo tofauti na mashabiki wa Bongo pale wanapoona wasanii wao wamepoteza ushindi kwenye Tuzo huwa nawacheka na kuwabeza.
Mtangazaji Zamaradi Mketema amefurahishwa na umoja wa mashabiki wa Nigeria pale wanapoona wasanii wao wamepoteza Tuzo tofauti na mashabiki wa Bongo pale wanapoona wasanii wao wamepoteza ushindi kwenye Tuzo huwa nawacheka na kuwabeza. Zamaradi amewataka mashabiki wa Bongo pia kujifunza uzalendo na kuwa pamoja na wasanii wao pale wanapopoteza ushindi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live