Menu ›
Burudani
Thu, 10 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa muziki Young Lunya kuelekea Novemba 11 siku ambayo ataachia Ngoma yake mpya ya Simu amesema ndio ataelewa ni kwa nini anajiita jina la Marehemu Albert Mangwea wa kisasa.
Young amefunguka jambo hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram kwa kuandika ujumbe huo uliosomeka hivi:
"Mimi ndio Mangwea wa kisasa," alitamba Young.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live