Menu ›
Burudani
Thu, 2 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Saa chache toka malkia wa muziki Beyonce alipotangaza kuja na tour yake ya dunia aliyoipa jina la Renaissance world tour, lakini kwa moja ya producers noma na sound engeneer kutoka marekani YOUNG GURU yamekuwa masaa ya usumbufu
Young Guru ni Sound engeneer na Dj mkubwa sana ambae amefanya kazi nyinginna wasanii tofauti tofauti na kwa ukaribu wa ukubwa hadi sasa anafanya kazi na rapper JAYZ, Ypung Guru ameamu kushare akiweka wazi kuwa hana tiketi za tamasha la Beyonce kwani yeye anafanya kazi na Jay Z
“Sikia nafanya kazi na Jay Z, Sina tiketi za Beyonce” ameandika Young Guru
Chanzo: www.tanzaniaweb.live